Jumatatu, 25 Mei 2015
NEW MUSIC:- FRAGA ft AT - NITAKUIMBIA
Huu
ni wimbo mpya wa Msanii na Producer FRAGA uitwao NITAKUIMBIA
aliomshirikisha AT na umetengenezwa katika Studio za UPRISE MUSIC.
DOWNLOAD HAPA.
Alhamisi, 21 Mei 2015
MJUE PRODUCER MTANZANIA AITWAYE FRAGA ALIYETENGENEZA NGOMA YA WASANII WAWILI WAKUBWA KUTOKA NCHINI NIGERIA.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.WASIFU:- |
Frank Mjack almaarufu kwa jina la Fraga au Mdogo wake Jaymillions ni Mhaya (amezaliwa
tarehe 12 Novemba
miaka kadhaa iliyopita, Wilayani Bukoaba Mkoani Kagera nchini Tanzania bara
la Afrika), ni mtayarishaji wa muziki katika Studio za “Uprise Music Empire” na mwanamuziki wa muziki aina ya RnB, Afro
Pop na Zuku. Ana elimu ya Kidato cha nne na baadae alifanikiwa kuingia Chuoni
kusomea masuala ya muziki(Sound Engineering).
Hivi
karibuni dhahiri shairi muziki unadaiwa kuwa ni moja ya tiba kwa wagonjwa baada
ya watafiti kadhaa wa Chuo
Kikuu cha Lomalinda nchini Marekani kuwaweka wagonjwa
100 katika chumba chenye muziki na wengine 100 kupelekwa hospitalini lakini
waliowekwa katika chumba maalumu chenye muziki walioneka kupona mapema, kwa
mantiki hii kazi zilizotayarishwa na “Fraga”
zaweza kuwa ni dozi tosha.
“Fraga”
amefanikiwa kufanya kazi na Wasanii wa nchini Nigeria kwa
kutayarisha/kutengeneza remix ya wimbo uitao “Oga Thomas” wa mwana dada “Papa”
aliomshirikisha msanii na mtayarishaji wa muziki mkubwa nchini Nigeria aitwaye “Selebobo”.
Unaweza
ukawa unajiuliza ni wapi Mtayarishaji huyu wa Kitanzania “Fraga” alikutana wapi
na wasanii hawa wa Kinigeria? “Papa na Selebobo hawa ni wasanii wakubwa nchini
Nigeria, huyu dada “Papa” ambaye ndio mwenye huu wimbo tulikutana kupitia Instagram
mpaka ikafikia wakati akaniamini nakunipa kazi ya kufanya remix ya nyimbo yake”.
Hii ni video yake Papa.
Ilikujua
kiundani zaidi sikuishia hapo niliendelea kudadisi zaidi kwa kupanua mahojiano
baina yangu na “Fraga” ili kujua anaionaje taswira ya mbele katika zake. Na hii
ni sehemu ya mahojiano yetu:-
CHRIS BEE :-
Unadhani kufanya kazi na msanii PAPA itakuwa na faida gani kwako?
FRAGA:- Unajua kwanza ni hatua kubwa, kufanya
kazi na kazi yako ikaaminiwa pia ni hatua ambayo nimepiga kufanya kazi International
Artists wamesikiliza, watasikiliza wengi hivyo itanipatia wigo wa kufanya kazi
nyingi international coz ata producer Selebobo ndiye aliye produce original
version ya “Oga Thomas” amekubali sana uwezi amini nae anataka nimtengenezee
mdundo arecord hii ni hatua muhimu kwangu muziki wangu unakua na kuaminiwa Afrika
na DunianI kwa sasa ikaheshimiwa.
CHRIS BEE :- Okay, je kuna makubaliano yoyote ya kudumu yanayowafanya kuendelea kufanya kazi zaidi na Papa?
FRAGA:- Yeah baada ya hii kazi pia kuna beat
yangu ambayo nimempatia, ataandika mistari yake na kurecod sauti huko kwao then
atanitumia data ya vocal nitafanya mixing then namtumia ngoma yake ambayo
ataiachia kwao, pia hii niliyomfanyia kwao itatoka kama remix ambayo beat
kutoka kwa producer Fraga kutoka nchini Tanzania Tanzania.
CHRIS BEE :- Ni producer gani anakuvutia?
FRAGA:- Duniani nampenda sana "Timberland"
ndiye producer ambaye nilikua nasikiliza kazi zake wakati najifunza uproducer.
CHRIS BEE :- Ni mambo gani yanayokutambulisha
kama Fraga?
FRAGA:- Kwanza ni sign ninayotumia kwa kila
wimbo ninao produce ambayo ni "Eyoooh Fraga” pia mtindo wangu wa kuproduce
muziki Mungu kanijaalia sikio nzuri lakuweza kufanya muziki mzuri na msafi hivyo
kwa mtu ambaye amewahi kusikia kazi zangu lazima atajua na yule ambaye ajawahi
kusikia akisikia mara moja anatamani kusikia zaidi.
Producer Fraga akiwa na Mfalme wa Miduara Tanzania AT
CHRIS BEE :-
Ulikutana vipi na Msanii na Mfalme wa miduara Tanzania AT?
FRAGA:- AT ni msanii mmoja wapo niliyekua
na ndoto ya kufanya nae kazi hivyo mwaka jana nilimtafuta kwa lengo la kumshirikisha
katika nyimbo yangu ambayo tulifanikiwa kufanya wimbo uitwao "Nitakuimbia"
baada ya hapo aliridhishwa na utendaji kazi wangu na kutaka niendeleee
kumfanyia kazi.... Ambapo nikamfanyia kazi yake mpya kwa sasa inaitwa
"Sijazoea" na pia kuna kazi nyingi za kwake ambazo zitafuata baada ya
hiyo zote nime produce mwenyewe.
CHRIS BEE :- Mbali na AT ni wasanii gani wakubwa
umefanya nao kazi?
FRAGA:- Kuna Spince Seseme, Ally Nipashe, Flora Mvungi, Black Rhyno na wengine wengi.
FRAGA:- Kuna Spince Seseme, Ally Nipashe, Flora Mvungi, Black Rhyno na wengine wengi.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa na Msanii H Mama wakati wa matengenezo ya Ngoma ya Mkazurure.
CHRIS BEE :- Ni msanii gani mwingine Tanzania unafikiri
ukifanya naye kazi unaweza kumfanya akaonekana wa kitofauti kuliko msanii
yeyote?
FRAGA:- Kipindi naanza muziki macho yangu
nilikua nimeyatoa kwa Banana Zoro huyu ndiye amanishawishi mimi niwe
msaniii.... hivyo siku nikimfanyia kazi ndoto yangu itakua imekamilika na pia
naamini nitamfanyia kitu kikubwa.
CHRIS BEE :- Kwa idadi ya haraka umetengeneza
ngoma ngapi?
FRAGA:- Ni kama nyimbo 10 hivi hizo nazungumzia ngoma ambazo ziko kwenye media na zinapata airtime ila ni nyingi sana ambazo nime produce za wasanii azijapata nafasi tu ila ni nzuri na nafikiri sababu inayochangia ni kutokana na wasanii kukosa menejimenti au connection au pesa za kufanyia promotion.
FRAGA:- Ni kama nyimbo 10 hivi hizo nazungumzia ngoma ambazo ziko kwenye media na zinapata airtime ila ni nyingi sana ambazo nime produce za wasanii azijapata nafasi tu ila ni nzuri na nafikiri sababu inayochangia ni kutokana na wasanii kukosa menejimenti au connection au pesa za kufanyia promotion.
CHRIS BEE :- Una mpango wowote wa kusomea zaidi
muziki?
FRAGA:- Elimu yangu ya Muziki bado sana nina mipango ya kujiendeleza kimasoma, pia mwaka jana mwezi wa kwanza niliingia chuo nikasomea Sound engineer lakin bado nahitaji elimu zaidi. Elimu aina mwisho kila nitakapo kua napata nafasi naingia darasani naongeza ujuzi.
FRAGA:- Elimu yangu ya Muziki bado sana nina mipango ya kujiendeleza kimasoma, pia mwaka jana mwezi wa kwanza niliingia chuo nikasomea Sound engineer lakin bado nahitaji elimu zaidi. Elimu aina mwisho kila nitakapo kua napata nafasi naingia darasani naongeza ujuzi.
Fraga akitoa burudani katika moja ya Tamasha nchini Tanzania.
CHRIS BEE :- Unauzungumziaje muziki wa Tanzania kwa sasa.
FRAGA:- Kiukweli muziki wa Tanzania
unakua sana yaani ukizungumzia nchi zenye ushindani kimuziki uwezi sahau Tanzania,
pia nitoe wito kwa madj na mapresenter wa Tanzania waupe nafasi muziki wetu ili
Wanigeria na Wasouth wacopy muziki wetu kama baadhi ya wasanii Watanzania
wanavyo wakopi waooo, muziki wetu ni mzuri sana ila bado haujapata nafasi ya
kutosha.
Msomaji
naamini utakuwa umeyafahamu mambo mengi yanayomhusu Mtayarishaji na Mwanamuziki
Fraga, tumpe baraka ya kila la kheri ili kuipeperusha vema bendera ya Taifa la
Tanzania katika tasnia ya Muziki nchini.
Moja ya Cover ya ngoma aliiachia mwanzoni mwa mwaka 2015 iitwayo DUNIA NZIMA
NB;- Unaweza M-FOLLOW pia FRAGA kupitia Instagram @producerfraga na
Facebook kwa jina la FRAGA DE PRO.
Imeandikwa na Chris Bee.
PICHA ZA MWANAMUZIKI NA MTAYARISHAJI WA MUZIKI NCHINI TANZANIA AITWAYE FRAGA KUTOKA STUDIO ZA UPRISE MUSIC.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi na Msanii My Self wakati wa kushoot video ya ngoma ya Struggling..
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa na Mmiliki wa studio hizo ambaye pia ni Mtayarishaji wa Muziki wa Kizazi kipya aitwaye Dupy.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa na Msanii H Mama wakati wa matengenezo ya Ngoma ya Mkazurure.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga akiwa amepozi na Msanii wa muziki wa kizazi kipya H Mama.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga akiwa mizungukoni kitaani..
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga akiwa ndani ya studio za Uprise Music Empire.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.
Moja ya Cover ya ngoma aliiachia mwanzoni mwa mwaka 2015 iitwayo DUNIA NZIMA
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga akiwa ndani ya studio za Uprise Music Empire.
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.
Fraga akitoa burudani katika moja ya Tamasha nchini Tanzania.
Fraga akitoa burudani katika moja ya Tamasha nchini Tanzania.
Producer Fraga akiwa na Mfalme wa Miduara Tanzania AT
Mwanamuziki na Mtayarishaji wa Muziki Tanzania aitwaye Fraga kutoka studio za Uprise Music Empire akiwa katika pozi.
Jumatatu, 11 Mei 2015
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)