"DAMN TRICKY ni filamu itakayozinduliwa Julai 25, mwaka 2015 pale JM HOTEL jijini Mbeya ni filamu ya kipekee ambayo itabadilisha taswira ya tasnia ya filamu Tanzania kutokana na ubunifu wa pekee tuliuonesha na nina imani italeta undindani mkubwa katika soko la kimataifa". Hii ni kwa mujibu wa Director wa filamu hiyo Kikunizo Montage na baadhi ya wasanii wa filamu hiyo Trice na Charles Monster.
BOFYA HAPA CHINI KUSIKILIZA MAHOJIANO BAINA YA WASANII WA FILAMU HIYO, MTAYARISHAJI NA WATANGAZAJI WA KIPINDI CHA BOMBA BASE SHOW WA RADIO BOMBA FM MBEYA 104.0MHz
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni