Social Icons

Pages

Jumanne, 21 Julai 2015

AUDIO:- TUNAZINDUA FILAMU YA"DAMN TRICKY" AMBAYO NI YA KIPEKEE NA ILIYO NA UBUNIFU AMBAO HAUJAWAHI KUFANYWA ITAKAYOBADILISHA TASWIRA YA TASNIA YA FILAMU TANZANIA.

 "DAMN TRICKY ni filamu itakayozinduliwa Julai 25, mwaka 2015 pale JM HOTEL jijini Mbeya ni filamu ya kipekee ambayo itabadilisha taswira ya tasnia ya filamu Tanzania kutokana na ubunifu wa pekee tuliuonesha  na nina imani italeta undindani mkubwa katika soko la kimataifa". Hii ni kwa mujibu wa Director wa filamu hiyo Kikunizo Montage na baadhi ya wasanii wa filamu hiyo Trice na Charles Monster.

BOFYA HAPA CHINI KUSIKILIZA MAHOJIANO BAINA YA WASANII WA FILAMU HIYO, MTAYARISHAJI NA WATANGAZAJI WA KIPINDI CHA BOMBA BASE SHOW WA RADIO BOMBA FM MBEYA 104.0MHz 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

WATCH:- FRAGA - KUPATIA{Official HD Music Video}

 
 
Blogger Templates